January 2013
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
MAIZE FARM IN KWIMBA DISTRICT MWANZA


NIGERIA: Cell Phones for Farmers to Cut Corruption, Deliver Services

Abuja — Nigeria's agriculture minister today responded to a barrage of criticism about the planned distribution of cell phones to the country's poorest farmers.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
HILI NI SHAMBA LA MZALENDO AITWAE SEBASTIAN NGONGOSEKO LILILOPO MKOANI MWANZA KATIKA WILAYA YA MAGU MAARU KWA ULIMAJI WA MBOGA MBOGA TU.

UCHUMI WA TEGEMEZI: NI SAWA NA KUJARIBU KUVUKA BAHARI
KWA MTUMBWI ULIOTOBOKA.

Na: Atley Kuni – Mwanza.

Je, umewahi kusikia, au kushuhudia urafiki wa kweli kati ya paka na panya; au kati ya simba na mbwa mwitu na mwanakondoo? Kama umeshuhudia utakuwa mtu wa pekee, kwasababu hilo si jambo la kawaida.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.


 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini 
   


WATU WAWILI WAFARIKI KATIKA MATUKIO TOFAUTI


WATU WAWILI wamefariki dunia Mkoani Manyara katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kufa maji wakati mwengine akiokotwa huku akiwa ameharibiwa sehemu zake za siri
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

PAMOJA na Serikali na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kutoa elimu ya kutumia njia za
kisasa za uzazi wa mpango kote nchini, baadhi ya wanawake katika wilaya ya Mbeya Vijijini
na Jiji la Mbeya wamekuwa wakitumia majivu kama njia ya kupanga uzazi na kutoa mimba
zisizotarajiwa.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

Watu wawili wamefariki Dunia na wengine thelasini na sita (36) kujeruhiwa kwenye ajali ya basi la “Bunda Expres” iliyotokea Mkoani Mwanza katika Wilaya ya Magu.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mnyika

Tarehe 3 Januari 2013 kwa kutumia kifungu cha 10 cha sheria ya haki, kinga na madaraka ya Bunge nimetaka Wizara ya Maji inipatie nakala ya ripoti ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya Majisafi na Majitaka Jijini Dar es salaam na maeneo ya Bagamoyo na Kibaha (Dar es salaam Water Supply and Sanitation Project-DWSSP) uliotekelezwa kati ya mwaka 2003 mpaka 2010 jijini Dar es salaam.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

TASNIA ya Filamu Tanzania imepata pigo jingine, baada ya msanii wake maarufu, Sadick Juma Kilowoko (Sajuki), kufariki dunia alfajiri ya kuamkia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dar es Salaam.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi, linafunguliwa leo kwa michezo miwili kwa Simba kuivaa Jamhuri ya Pemba, huku Tusker ya Kenya wakipepetana na Bandari mechi zote zikichezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

Ni kuhara na Kichomi kwa watoto wa wiki 6 hadi mwaka mmoja.
Zoezi la Chanjo limefanyika kimkoa katika Wilaya ya Sengerema kwenye Tarafa ya Sengerema
kijiji cha Sima na Kata ya Sima Mkoani Mwanza.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

Jumla ya watoto wapatao 24 wamezaliwa katika hospitali ya mkoa wa Mwanza Sekou Toure katika mkesha wa kuamkia mwaka mpya wa 2103.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
RAIS Jakaya Kikwete jana alizindua matokeo ya awali ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, yanayoonyesha kuwa Tanzania sasa ina watu 44,929,002, kati yao 43,625,434 wakiwa wa Tanzania Bara na 1,303,568 Zanzibar.