Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
January 2013
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
HILI NI SHAMBA LA MZALENDO AITWAE SEBASTIAN NGONGOSEKO LILILOPO MKOANI MWANZA KATIKA WILAYA YA MAGU MAARU KWA ULIMAJI WA MBOGA MBOGA TU. |
UCHUMI WA TEGEMEZI: NI SAWA
NA KUJARIBU KUVUKA BAHARI
KWA MTUMBWI ULIOTOBOKA.
Na: Atley Kuni – Mwanza.
Je,
umewahi kusikia, au kushuhudia urafiki wa kweli kati ya paka na panya; au
kati ya simba na mbwa mwitu na mwanakondoo? Kama umeshuhudia utakuwa mtu wa
pekee, kwasababu hilo si jambo la kawaida.
|
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Jumla ya wahamiaji haramu 4 wanne kutoka Somalia wamekamatwa Mkoani Morogoro wakiwa
kwenye basi la Elisaidi lililokuwa likielekea Mkoani Mbeya kutokea Dar Es Salaam.
kwenye basi la Elisaidi lililokuwa likielekea Mkoani Mbeya kutokea Dar Es Salaam.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Na Alex Mchumvu. Tanga.
Baadhi ya watoto wanaoshambuliwa na ugonjwa wa funza. Kuanzia mtoto
wa pili kutoka kulia ni miongoni mwa familia zinazoshambuliwa na
ugonjwa wa funza eneo la Kibaoni Korogwe Vijijini.
Baadhi ya watoto wanaoshambuliwa na ugonjwa wa funza. Kuanzia mtoto
wa pili kutoka kulia ni miongoni mwa familia zinazoshambuliwa na
ugonjwa wa funza eneo la Kibaoni Korogwe Vijijini.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mnyika |
Tarehe 3 Januari 2013 kwa kutumia kifungu cha 10 cha sheria ya haki, kinga na madaraka ya Bunge nimetaka Wizara ya Maji inipatie nakala ya ripoti ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya Majisafi na Majitaka Jijini Dar es salaam na maeneo ya Bagamoyo na Kibaha (Dar es salaam Water Supply and Sanitation Project-DWSSP) uliotekelezwa kati ya mwaka 2003 mpaka 2010 jijini Dar es salaam.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Subscribe to:
Posts (Atom)