Ilikuwa siku ya Tarehe 14 Dec. 2012 Wakati Mkurugenzi wa Vijana Nchini Prof. Elisante Ole Gabriel, alipo Hitimu kwa Mara Nyingine PhD ya Pili.
Kwamujibu wa maelezo yake Prof.Elisante anasema anajisikia fahari sana kumaliza ngazi hiyo ya PhD kwa mara nyingine tena Ndio maana nakwambia ndugu mdau Elimu haina mwisho, na anatamani kuendelea kusoma zaidi na zaidi,
Prof. Elisante Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Vijana Nchini alikuwa akikufunzi katika Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichopo Mkoani Morogoro.

TAZAMA PICHA ZAIDI










Picha zote hizo akiwa na Wahitimu wengine. zote zimepigwa na Mdau wa Blog hii Atley Kuni
Axact

Post A Comment: