Nafahamu zipo Blog Nyingi sana, kwa sasa hapa chini ya Jua, lakini hiyo haiwezi kukunyima nafasi yakutembelea "kuni-news.blogspot.com" Blog mpya na ya kipekee kabisa hata yale waliokuwa wanakunyima mengine sasa utayafahamu. Kwani Mara baada ya Makanjanja kuingilia Taaluma na kuharibu baadhi ya Miiko inayotuongoza katika Tasnia ya habari, Nimeona sio vyema nindelee kukaa kimya, Ndio maana tumekuja na kuni-news blog.
Nawakaribisha sana wadau. Kw
Matangazo Tafadhali jamani Nipigie simu namba +255767672014 au +255718086171 au Nitumie kupitia barua pepe kuniatley@yahoo.com

KARIBUNI!