Bw. Johanes Bukwali, Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na uzalisha Sekretarieti ya mkoa wa Mwanza, akisoma Hotuba ya Katibu Tawala wa Mkoa huu wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Siku nane kuhusiana na PlanRep kwa watendaji wa a Mikoa ya Kanda ziwa  
 
Serikali mkoani hapa imesema, Mfumo mpya wa kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, ulioboreshwa utakuwa msaada kwa Mwananchi kwani utaweza kumshirikisha moja kwa moja wakati wakuibua vipaumbele vya maendeleo katika maeneo yao.
 
Isome Habari hii kwa Undani kupitia. www.mwanza.go.tz


Watendaji wa PS3 wakifatilia kwa Makini Hotuba wakati wa ufunguzi wa Semina ya PlanRep.

Bw. Desderi Wengaa,Mkuu wa Masuala ya Mifumo kutoka PS. akitoa maelezo ya Utangulizi kabla ya kufunguliwa kwa Semina hiyo inayofanyiaka Mkoani Mwanza.

Baadhi ya Watengenezaji wa Mfumo Mpya wa PlanRep, ambao wataufundhisha kwa muda wa siku nane Mkoani Mwanza, hapa wakijitambulisha mbele ya Watendaji walifika kwaajili yakufundishwa.

Bw. Elias Rwamiago, Kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI akizunguza kabla yakumkaribisha Mgeni Rasmi kufungua Senina hiyo ya Siku nane

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, C P. Clodwig Mtweve, wakati akifungua mafunzo  ya siku nane yaliyo andaliwa na TAMISEMI kupitia mradi wa Wamarekani wa kuimarisha mifumo yaani PS3 kwa watendaji wa Serikali kutoka katika mikoa ya kanda ya ziwa.
Axact

Post A Comment: