Vijana wa CCM wakiwa wanaingia katika Mkoa wa Mwaza wakitokea Mkoa wa Shinyanga.
TUMEKUJA KWA SHANGWE,




UMOJA WETU NDIO USHINDI WETU.



MKUU WA MKOA WA MWANZA MHANDISI EVARIST NDIKILO NA MKUU WA WILAYA YA
MISUNGWI KWA PAMOJA NA DC NYAMAGA WAKIWASHANGILIA VIJANA.


BANGO LAKUHAMASISHA UMOJA NA MSHIKA MANO.


IYENA IYENA IKANOGA.





NINYI VIJANA MNAYO DHIMA YAKULINDA MUUNGANO HUU.

 Katika hotuba yake mkuu hyo wa Mkoa amewataka Vija kushikamana na kuutetea Muungano kwa dhati. Kwani Taifa la Tanzania limekuwa mstari wa mbela katika harakati mbali mbali ndani na nje ya Nchi.
 
Amesema Muungano wa nchi hizi haukutokea kwa bahati mbaya bali ni maono ya waasisi wa Taifa hili waliotaka nchi hizi ziungane kutokana na Historia, lakini siku zote Nguvu ya Mnyonge ni Umoja, hivyo wakati wazungu wanawaza kuwa Taifa moja nasi tuwe na malengo yakuwa nchi moja kama maona ya wazee wetu.
 
Mbio hizo zitamalizika tarehe 17.04.2014 Huko Mkoani Kigoma na badae kwenda Taifani siku ya Tarehe 26 Ambapo itakuwa kilele cha Siku ya Muungano katika Uwanja wa Taifa DSM.
Taarifa kamili ni hapo kesho............!!!!!!!!!!


Axact

Post A Comment: