August 2014
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
WAZIRI MKUU AKIPOKEA ZAWADI YA PICHA
KUTOKA KWA CEO WA BMAF DR. HELEN SENKORO.


WAALIKWA WAKIWA WANAANGALIA HARAMBEE INAVYOKWENDA.



MC WA SHGHULI HIYO ALEX  NGUSSA
AKICHAGIZA JAMBO KWENYE HARAMBEE HIYO.


NAIBU WAZIRI WA KITWANGA AKIMSIKILIZA
WAZIRI MKUU KWA JAMBO FULANI HAPO.




DR. HELEN AKIMPA WAZIRI MKUU
MPANGO WA HARAMBEE UTAKAVYO KWENDA.











KIONGOZI WA KANGARUU AKIWAKILISHA MCHAO WA TAASISI HIYO.



MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA HALIFA
HIDA MARA BAADA YAKUSILISHA MCHO WA JIJI LA MWANZA.


AFISA UHUSIANO WA JIJI LA MWANZA, BW. JOSEPH MLIZI
AKIPEANA MKONO NA WAZIRI MKUU MARA
BAADA YAKUWASILISHA MCHO WA MWANZA CITY COMMECIA COMPLEX.


KANALI MSTAAFU NA MKUU WA MKOA WA KAGERA
AKISOMA MICHANGO KUTOKA MKOA HUO.


RC WA GEITA KULIA AKIMTAMBULISHA MKUU WA WILAYA YA
 GEITA MANZIE MANGOCHIE MARA
BAADA YA KUWASILISHA MICHANGO YA MKOA HUO.


MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKIKABIDHI MICHAO YA MKOA HUO.



SEKRETARIETI WAKISIKILIZA KWA MAKINI JINSI WACHANGIAJI WALIVYO KUWA WANACHANGIA KATIKA HARAMBEE HIYO.


MFANYABIASHARA WA MWANZA BW. MWITA GACHUMA
 AKITETA JAMBO NA MHE. BENJAMIN MKAPA KATIKA HAFLA HIYO.




MKUU WA WILAYA YA NYAMAGANA KUSHOTO, BARAKA KONISAGA
NA MKUU WA WILAYA YA ILEMELA BIBI AMINA MASENZA
 WALIPOFIKA MBELE KWA AJILI YAKUTOA MICHANGO YAO.








KAMATI YA MAANDALIZI WALIPATA FURSA YAKUPIGA PICHA YA PAMOJA
 NA MGENI RASMI WAZIRI MKUU WA JAMAHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
 
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

 Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, juzi Agosti 23, 2014. Katika Bonanza hilo timu ya Rav 4 iliibuka mshindi wa jumla katika michezo yote iliyochezwa ikifuatiwa na timu ya Hilux, VX na Prado. Picha zote na www.sufianimafoto.com


 Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, juzi Agosti 23, 2014. Katika Bonanza hilo timu ya Rav 4 iliibuka mshindi wa jumla katika michezo yote iliyochezwa ikifuatiwa na timu ya Hilux, VX na Prado.


 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la ushindi wa jumla katika michezo yote mwakilishi wa timu ya RAV 4, Mumma Nyamhanga, wakati wa hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa pili katika michezo yote mwakilishi wa timu ya Hilux,  Brian Manase, wakati wa hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 


 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa tatu katika michezo yote wawakilishi wa timu ya VX, Athuman Mgeni (wa pili kushoto) na Ibrahim Zombo (wa pili kulia), wakati wa hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 


 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa Nne katika michezo yote mwakilishi wa timu ya Prado, Mtumwa Amour (wa pili kulia) na Fazal Ismail (wa pili kushoto), wakati wa hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 


 Timu ya Rav 4, ambao waliibuka na kikombe cha ushindi wa jumla, wakipiga picha ya kumbukumbu pamoja kwa furaha, baada ya kukabidhiwa kombe lao la ushindi wa Bonanza hilo lililoelezwa kuwa litakuwa likifanyika kila mwaka ili kuwapa motisha wafanyakazi wake.


 Timu ya PRADO....


 Timu ya VX....


 Timu ya HILUX......


 Timu ya RAV 4...........


 Wachezaji wa timu ya Rav 4 (wenye Tisheti za rangi ya njano) wakichuana kuwania mpira na wachezaji wa timu ya VX. Katika mchezo huo Rav 4 walishinda mabao 2-0.


 Chenga moja Chaliiiiiii..........................


 ''Hapa si ubosi tu hata soka bado nimo''.......


 Mtanange ukiendelea.....


 Wachezaji wa timu ya Prado (wenye Tisheti za rangi ya bluu) wakichuana kuwania mpira na wachezaji wa timu ya Hilux. Katika mchezo huo Prado walishinda kwa mkwaju wa penati baada ya kumalizika dakika 30 na kutoka sare ya bao 1-1.



 Mourinho wa timu ya Prado (kushoto) akifanya vitu vyake na kumgalagaza beki wa Hilux.


 Netiboli hapa ilikuwa ni timu ya Rav 4 (rangi ya njano) na Prado, Rav 4 ilishinda mabao 9-2.


 Hapa ilikuwa ni timu za Netiboli kati ya Hilux (rangi nyekundu) na VX, Vx ilishinda mabao 7-3


 Voliboli hapa ilikuwa ni Rav 4 na Prado...Prado walishinda.....


 Wahi hiyo weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee





 Hapa ilikuwa ni mchezo wa kuvuta kamba kati ya VX na Rav 4, Rav 4 walishinda


 Timu ya Rav 4....


 Mvutano ulikuwa si wakitoto.......


 Hapa ilikuwa ni mchezo wa kudansi.....na kuganda......


 Kamba timu ya Prado.......


 Kamba timu ya Prado na Hilux...... KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA BOFA READ MORE