Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Nteghenjwa Hosseah, Tamisemi – Dodoma.
|
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa Mhe Selemani Jafo
akizungumza katika hafla ya kufungua
mafunzo ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi
katika Ukumbi wa Hazina Mjini Dodoma Leo |
Naibu Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.
Selemani Jafo amewataka Wakuu wa Wilaya
na Wakurugenzi wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi ili kutimiza matarajio ya watanzania
ambao wanaitegemea Wizara hii kama chachu ya mabadiliko
katika utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya Tano.