Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mh. Seleman Jafo, akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa kuhusu ukarabati wa vituo 172 vya Afya nchini kote.
 
Serikali imepanga kukarabati vituo vya afya 172 kutokana na fedha kutoka Benki ya Dunia na Ubalozi wa Canada ambapo wametoa jumla ya Dolla za Kimarekani Mil 88 sambamba na Bil.12 fedha za kitanzania zilizovuka katika mwaka wa fedha wa 2016/2017.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.


Nteghenjwa Hosseah, Tamisemi – Dodoma.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Selemani Jafo akizungumza  katika hafla ya kufungua mafunzo ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi  katika Ukumbi wa Hazina Mjini Dodoma Leo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala  za Mikoa  na Serikali za Mitaa  Mhe. Selemani Jafo amewataka Wakuu wa Wilaya  na Wakurugenzi wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi  ili kutimiza matarajio  ya watanzania  ambao wanaitegemea Wizara hii kama chachu ya  mabadiliko  katika utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya Tano.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey W. Zambi akitoa maagizo  kwa Wakala wa Vipimo kusimamia matumizi ya vipimo sahihi katika msimu wa ununuzi wa mazao



Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godyfrey W. Zambi akisaini Kitabu cha wageni katika Maonesho ya Nanenane.

 



Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godyfrey Zambi akipewa Maelezo na Afisa Vipimo namna ya kutambua mawe sahihi ya Mizani yaliyo hakikiwa na Wakala wa Vipimo


 Mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi amepiga marufuku kutumia kipimo kinacho tumiwa na baadhi ya wanunuzi wa mazao katika mkoa huo maarufu kama Kangomba ambacho kimeonsha kutokuwa rafiki wa mkulima.
Zambi ametoa kauli hiyo  alipotembelea banda la wakala wa vipimo nchini (WMA), katika maonesho ya nane nane ambayo kitaifa yanafanyika katika mkoa wa Lindi kwenye viwanja vya Ngongo. 

Akizungumza katika banda hilo, amewataka Wakala wa Vipimo kuongeza nguvu zaidi katika kusimamia matumizi sahihi ya vipimo katika maeneo mbalimbali,  ili wakulima na Wananchi kwa ujumla waweze kunufaika na mazao wanayolima pindi waendapo kuyauza wakati wa msimu.

Ameongeza kuwa,  maafisa wa vipimo ni muhimu kwa  kushirikiana na maafisa waliopo katika ofisi za wakuu wa mikoa katika kuhakikisha wakulima hawapunjwi pindi waendapo kuuza mazao yao kwakuwa baadhi ya wafanyabiashara  wasio waaminifu, huchezea mizani yao kwa lengo la kuwapunja wakulima kwa lengo la kupata faida zaidi.

Awali wakitoa maelezo kuhusu kangomba maafisa wa wakala wa vipimo walimuelezea mkuuhuyo wa mkoa namna kangomba inavyowapunja wakulima, kwa kuwa siyo kipimo sahihi kinachopaswa kutumika kununulia mazao. 

Kufuatia maelezo kutoka kwa wakala wa vipimo ndipo ikamalazimu mkuu huyo wa kutoa tamko kali dhidi ya wale wote wenye kutumia kangomba katika kuuza au kununua mazao ya wakulima.

“Lazima tuelewe falasafa ya Rais wetu, anataka mapinduzi ya viwanda lakini mwenye kuzalisha malighafi ni mkulima hivyo lazima, katika mazao yake aone faida, vinginevyo atauchukia ukulima na kukatishwa tamaa”, alinukuliwa mkuu wa mkoa.

Wakala nchini imekuwa na jukumu la kuwapa wakulima elimu ya matumizi sahihi ya mizani iliyo hakikiwa na kutambua alama zinazowekwa kwenye vipimo vilivyohakikiwa na Wakala ambazo ni   stika maalum, pamoja na kugongwa nembo ya Taifa na tarakimu mbili za mwisho za mwaka husika. Mfano kwa mwaka huu 2017, itasomeka namba 17.

Kwa upande wake Afisa Vipimo wa mkoa wa  Lindi bw. Nyagabona Mkanjabi alisema, wamejipanga vizuri katika kusimamia matumizi ya vipimo sahihi na kuhakikisha mizani zote zinazotumika katika vyama vya ushirika vya msingi zinakaguliwa kabla ya misimu ya kuuza mazao kuanza huku  aki wahakikishia kaguzi mbalimbali za kustukiza zinafanyika kipindi cha msimu wa kuuza mazao unapofika.

Pia, amewakaribisha viongozi wa vyama vya ushirika vya msingi pamoja na wananchi wote kutembelea banda la wakala wa vipimo katika maonesho ya nanenane mkoa wa Lindi na kujionea Mizani mbalimbali zinazopaswa kutumika katika ununuzi wa bidhaa mbali mbali na mazao ukiwemo mzani wa digital wa tani 2 ambao unapima bidhaa/mazao na kutoa  risiti hapo hapo

Akizungumza pembeni mwa mkutano huo, kaimu Afisa Vipimo mkoani hapo, Andrew Mbwambo ametoa wito kwa Wakulima, wafanyabiashara na Wananchi wote kutojihusisha na vitendo vya kuchezea vipimo kwani kwa sasa adhabu ni kubwa baada ya Sheria ya Vipimo Sura namba 340 na Mapitio yake ya mwaka 2002 kufanyiwa marekebisho mwaka 2016.

Kila mwaka wakala wa vipimo imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha inashiriki maonesho mbalimabali ikiwapo ya Nanenane huku wakiwa na jukumu la kutoa elimu ya mara kwa mara kwa wakulima na wanunuzi wa mazao na umuhimu wa kutumia vipimo sahihi.

Maonesho ya Nane nane kitaifa yamefanyika  mkoani Lindi kwa mara ya tatu mfululizo huku yakiongozwa na kaulimbiu “Zalisha kwa tija mazao na biadhaa za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili kufikia Uchumi wa kati”.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

 









 


CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO UNDERGRADUATE DEGREE, DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018

 


 

 


The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA) invites applications from qualified

Tanzanians and non-Tanzanians to study the following Technician Certificate, Ordinary Diploma and Bachelor Degree Programmes at Kivukoni Main Campus – Dar es Salaam  and Zanzibar Campus..

 

CERTIFICATE PROGRAMMES
DURATION
ENTRY  REQUIREMENT
Basic Technician Certificate in Youth Work
1 year
·         At least  four (4) passes at D grade in any subject excluding religious subjects in CSEE.
Basic Technician Certificate in Human Resources Management
Basic Technician Certificate in Community Development
Basic Technician Certificate in Records, Archives and Information Management
Basic Technician Certificate  Library and Information Management
 
Basic Technician Certificate in Economic Development
1 year
 
·        The minimum entry qualification is four (4) passes at least D grade in any subject excluding religious subjects in a Certificate of Secondary Education Examination (CSEE). In addition, the four passes must include a pass in any of the following subjects: Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Agriculture, Engineering Science, Geography, Commerce  and other science related subjects.
Basic Technician Certificate in Accountancy
Basic Technician Certificate in Business Administration
Basic Technician Certificate in Procurement and Supply
 
Basic Technician Certificate in Information and Communication Technology
1 year
 
·         The minimum entry qualification is four (4) passes at D grade in any subject excluding religious subjects in a Certificate of Secondary Education Examination (SCEE).  In addition, the four passes must include
a pass in Basic Mathematics and English Language.
 

 

 

 

 

DIPLOMA PROGRAMMES
DURATION
ENTRY  REQUIREMENT
Ordinary Diploma in Social Studies
2 years
·        At least one principal pass with a subsidiary in the Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE).
·        A relevant Basic Technician Certificate (NTA Level 4) or any other relevant one year Certificate obtained from any learning institution registered by the Government or recognized by any Government body of the country of study.
Ordinary Diploma in Human Resource Management
Ordinary Diploma in Gender Issues and Development
Ordinary Diploma in Library and Information Management
Ordinary Diploma in Community Development.
Ordinary Diploma in Records, Archives and Information Management
 
Ordinary Diploma in Economic Development
2 years
 
·         At least one principal pass and a subsidiary in the Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) in any of the following subjects Economics, Commerce, Accounts, Geography, Physics, Chemistry, Biology, Pure Mathematics, Basic Applied Mathematics, Geography and other related subjects .    
·            A relevant Basic Technician Certificate (NTA Level 4) recognized by NACTE or any other relevant one year certificate obtained from any learning institution registered by the Government or recognized by any Government body of the country of study.
 
Ordinary Diploma in Accountancy
 
Ordinary Diploma in Business Administration
Ordinary Diploma in Procurement and Supply
Ordinary Diploma in Information and Communication Technology
2 years
 
·     At least one principal pass and a subsidiary in the Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) in any of the following subjects Economics, Commerce, Accounts, Geography, Physics, Chemistry, Biology, Pure Mathematics, Basic Applied Mathematics, Geography and other
     related subjects.
    
·     A relevant Basic Technician Certificate (NTA Level 4) recognized by NACTE or any other relevant one
year certificate obtained from any learning institution registered by the Government or recognized by any
   Government body of the country of     study.
 
 
DEGREE PROGRAMMES:
DURATION
ENTRY  REQUIREMENT
Bachelor   Degree in Management of Social Development
3 Years
·         Form VI with two Principal passes in History, Geography, English, Kiswahili, Biology, Chemistry, Agriculture and Commerce,
 
·         Diploma in Social Studies OR Diploma in Gender and Development, Community Development/ Full Technician Certificate in Human Resource Management, Record Man agent, Social Work, Journalism, International Relational and Diplomacy, Secretarial Studies and Office Management  Administration, Performing Arts with an average of GPA 3.0 or above AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE).
Bachelor   Degree in  Economics of Development
3 Years
·         Form VI with two Principal passes from the following subjects: Economics, Accountancy, Commerce, Mathematics, Geography, Physics, Chemistry, Biology or Agriculture,
 
·         Diploma in  Economic of Development OR Diploma in Community Development/ Full Technician Certificate in  Procurement and Supply Management, Marketing, Accountancy, Financial Administration, Business Administration, Local Government Accountancy and Finance, Public Sector Finance, Management, with an average of GPA 3.0 or above  AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE).
 
Bachelor   Degree of Education  in Geography and History
3 Years
·            Form VI with two passes from Geography and History subjects,
 
·            Diploma of Education in Geography and History with an average of C, Education Management and Administration, Adult and Continuing Education, with an
         average of GPA 3.0 or above AND
         4 passes at ‘O’ Level (SCEE).
Bachelor  Degree of Education in Kiswahili and English Languages
3 Years
 
·         Form VI with two passes from Kiswahili and English subjects,
·         Diploma of Education in Kiswahili and English with an average of C, Education Management and Administration, Adult and continuing Education, with an average of GPA 3.0 or above AND 4 Passes at ‘O’ Level (SCEE).
Bachelor   Degree in Gender and Development
3 Years
 
·      Form VI with two Principal passes in History Geography, English, Kiswahili, Biology, Chemistry, Agriculture and Commerce
·        Diploma in Gender and Development OR Diploma in Community Development/Full Technician Certificate, Nursing, Travel and Tourism, Police Sciences, Social Studies, Social Work, Economic of Development, Record Management, Human Resource Managiement with an average of GPA 3.0  or above AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE)..
Bachelor   Degree in Human Resources Management
3 Years
 
·         Form VI with two Passes from the following subjects; English, History, Kiswahili, geography, Agriculture, Economics and Commerce,
·         Diploma in Human resource Management OR Diploma in Gender and Development, Community Development/Full Technician Certificate, Social Studies , Record Man agent, Social Work, Journalism, International Relation and Diplomacy, Secretarial Studies and Office Management with an average of GPA 3.0 or above  AND  4 passes
at ‘O’ Level (SCEE). 
 
 
 
 
 
Bachelor   Degree of Education in Geography and Kiswahili
 
 
 
 
3 Years
 
 
 
·         Form VI with two passes from Kiswahili and English subjects,
 
·         Diploma of Education in Kiswahili
       and English wi
th an average of C,
Education Management and Administration, Adult and continuing Education, with an average of GPA 3.0 or above AND 4 Passes at ‘O’ Level (SCEE).
 
Bachelor   Degree of Education in Geography and English
 
3 Years
 
·         Form VI with two passes from Geography and English subjects
·         Diploma of Education in Geography and English with an average of C, Education Management and Administration, Adult and Continuing Education, with an average of GPA 3.0 or above AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE).
 
Bachelor   Degree of Education in History and English
 
3 Years
 
·         Form VI with two passes from History and English subjects
·         Diploma of Education in History and English with an average of C, Education Management and Administration, Adult and Continuing Education, with an average of GPA 3.0 or above  AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE).
 
Bachelor   Degree of Education in History and Kiswahili
 
3 Years
 
·        Form VI with two passes from History and Kiswahili subjects.
·        Diploma of Education in History and Kiswahili with an average of C, Education Management and Administration, Adult and Continuing Education, with an average of GPA 3.0 or above  AND 4 passes at ‘O’ Level (SCEE)

 

 

MODE OF APPLICATION

 

    1. All applicants for Certificate, Diploma and Bachelor Degree  Programmes must apply direct through Online Admission System of the Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA) available in our website : www.mnma.ac.tz or visit admission office at the MNMA – Kivukoni Campus or MNMA Zanzibar Campus for more assistance.

 

 

 

 

 

    1. Each applicant for Certificate and Diploma Programmes are required to pay an application fee of Tsh. 20,000/= for Tanzanian Citizens and  US 13 $ for Non Tanzanian Citizens while applicants for Bachelor Degree Programmes are

 

required to pay Tsh. 30,000/= for Tanzanian Citizens and US 40 $ for Non Tanzanians. All payments should be paid  through the Academy’s Bank Account No. 0150206210000 (CRDB Bank Ltd), Account Name: MNMA-DSM CAMPUS, and then submit the Bank Pay in Slip to the Rector of the Academy.

 

    1. Application deadline: 20 Agost, 2017.

 

 

 

For more information please contact:

Rector

The Mwalimu Nyerere Memorial Academy,

P.O. Box 9193,

DAR ES SALAAM

 

Phone No. (022) 2820041/ 2820047/ 0715893147/ 0655176995

Fax No.     (022) 2820816.


Website: www.mnma.ac.tz

 

 

 

 

 

 
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Bw. Johanes Bukwali, Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na uzalisha Sekretarieti ya mkoa wa Mwanza, akisoma Hotuba ya Katibu Tawala wa Mkoa huu wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Siku nane kuhusiana na PlanRep kwa watendaji wa a Mikoa ya Kanda ziwa  
 
Serikali mkoani hapa imesema, Mfumo mpya wa kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, ulioboreshwa utakuwa msaada kwa Mwananchi kwani utaweza kumshirikisha moja kwa moja wakati wakuibua vipaumbele vya maendeleo katika maeneo yao.
 
Isome Habari hii kwa Undani kupitia. www.mwanza.go.tz
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
> Nibaada yakushindwa Marshrti.
Moja ya Mashine katika kiwanda hicho ambayo baadhi ya vifaa vyake vimenyofolewa.

Mtambo huu unatajwa ndio kwanza Tekinolojia yake inaingia Afrika lakini hapa kwetu ulifungwa miaka mingi iliyopita.


Mkuu wa mkoa wa Mwanza akiwa ameambatana na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama hapa wakifanya ukaguzi wa ndani ya Kiwanda hicho.

 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, ameamuru kufungwa kwa kiwanda cha Ngozi cha Mwanza ambacho kilibinafsishwa wakati wa zoezi la ubinafsishaji mwanzoni mwa miaka ya tisini  kufuatia utata uliogubika  umiliki halali  wa kiwanda hicho.
Hatua ya mkuu wa Mkoa inafuatia ziara yake aliyoifanya kiwandani hapo tarehe 10 Julai, 2017 na kuwaamuru wahusika kuwa na mpango kazi ambao ungeonesha kwa namna gani wataanza kazi ifikapo Januari, 2018, huku akiwataka wahusika wote ambao wanamaslahi na kiwanda hicho kuwepo kiwandani hapo ifikapo 20 Julai, 2017.
Kinyume na matarajio ya Mkuu wa Mkoa, alipowasili kiwandani akiwa ameambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo, majira ya saa 5.43 za asubuhi siku ya tarehe 20 Julai, 2017, alikuta hakuna maendeleo yoyote juu ya hatma ya kiwanda hicho na hata mpango kazi aliokuwa ameagiza hakuuona.
Kwaundani isome kupitia    www.mwanza.go.tz

DARAJA LA FURAHISHA