Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Serikali Mkoani
Mwanza imeamuru shule 11 za msingi na
moja ya Sekondari, zilizokuwa zimefungwa Wilayani Ukerewe kutokana na ukosefu
wa vyoo zifunguliwe na wanafunzi warejee kwenye masomo wakati wa hatua za dharura zinachukuliwa.