March 2017
no image
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.

 

Serikali Mkoani Mwanza imeamuru shule 11 za msingi  na moja ya Sekondari, zilizokuwa zimefungwa Wilayani Ukerewe kutokana na ukosefu wa vyoo zifunguliwe na wanafunzi warejee kwenye masomo wakati wa  hatua za dharura zinachukuliwa.