1._Kinana_akishuka_Uwanja_wa_Ndege_wa_Sumbawanga_baada_ya_kuwasili_1217b.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishuka kwenye Ndege, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga baada ya kuwasili leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku 21, katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma
3_a5a97.jpg
Kinana na Karume wakiaga wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
4_80544.png
Kinana akiwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa.
(J.G)
Axact

Post A Comment: