![]() |
UMATI WA WATU KATIKA BARA BARA YA KENYATTA HAPA WAKISHUHUDIA FOLENI YA MAGARI NI BAADA YA KARANDINGA KUSABABISHA AJALI. |
Fatilia kwa karibu picha hizo ambazo tumezipata kwa hisani ya Blogu ya G. Sengo.
![]() |
Pic up aina ya Toyota Dutsun T387 AAH ikiwa imenasa kwenye moja ya maduka mara baada ya kugongwa na karandinga hilo la mahabusu. |
![]() |
Utaratibu wa kufaulisha mahabusu ukiendelea kufanywa na kikosi cha kuzuia vurugu FFU jeshi la polisi Mwanza. |
![]() |
Usalama ulizingatiwa na wananchi walikatazwa kulifikia eneo la tukio umbali wa mita 100. |
![]() |
Kasheshe ya msongamano barabara ya Kenyata jijini Mwanza. |
![]() |
Fundi akijaribu kuweka japo sawa kwa muda ili karandinga hilo lipate kuondoshwa eneo hilo kuondoa usumbufu wa kuziba njia ya barabara hiyo muhimu.... |
![]() |
Si suala la kubeza twahitaji kuboresha vitendea kazi jeshi la polisi nchini kwani ipo siku yatazuka makubwa kuliko hili lililotokea hapo jana. |
Post A Comment: