Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Serikali
imepanga kukarabati vituo vya afya 172 kutokana na fedha kutoka Benki ya Dunia
na Ubalozi wa Canada ambapo wametoa jumla ya Dolla za Kimarekani Mil 88
sambamba na Bil.12 fedha za kitanzania zilizovuka katika mwaka wa fedha wa
2016/2017.