Katika ushabiki wa mchezo wa soka mara nyingi wanasoka wakipata
umaarufu mkubwa hasa kutokana na kusakata kabumbu ambao ndio utamu wa soka
lenyewe.
Hata hivyo nchini Tanzania yupo shabiki Bwana Steven Samuel aliyejipatia
umaarufu mkubwa kutokana na mapenzi yake kwa timu ya Tanzania hasa
inapofungwa.
Ushabiki huu umemletea mafanikio si haba , kama alivyobaini Mwandishi wetu wa
Dar es salaaam
kwa hisani ya BBC
kwa hisani ya BBC
Post A Comment: