Katika ushabiki wa mchezo wa soka mara nyingi wanasoka wakipata 
umaarufu mkubwa hasa kutokana na kusakata kabumbu ambao ndio utamu wa soka 
lenyewe.
Hata hivyo nchini Tanzania yupo shabiki Bwana Steven Samuel aliyejipatia 
umaarufu mkubwa kutokana na mapenzi yake kwa timu ya Tanzania hasa 
inapofungwa.
Ushabiki huu umemletea mafanikio si haba , kama alivyobaini Mwandishi wetu wa 
Dar es salaaam
kwa hisani ya BBC
kwa hisani ya BBC
 
 
Post A Comment: