|  | 
| WAZIRI MKUU AKIPOKEA ZAWADI YA PICHA KUTOKA KWA CEO WA BMAF DR. HELEN SENKORO. | 
|  | 
| WAALIKWA WAKIWA WANAANGALIA HARAMBEE INAVYOKWENDA. | 
|  | 
| MC WA SHGHULI HIYO ALEX  NGUSSA AKICHAGIZA JAMBO KWENYE HARAMBEE HIYO. | 
|  | 
| NAIBU WAZIRI WA KITWANGA AKIMSIKILIZA WAZIRI MKUU KWA JAMBO FULANI HAPO. | 
|  | 
| DR. HELEN AKIMPA WAZIRI MKUU MPANGO WA HARAMBEE UTAKAVYO KWENDA. | 
|  | 
| KIONGOZI WA KANGARUU AKIWAKILISHA MCHAO WA TAASISI HIYO. | 
|  | 
| MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA HALIFA HIDA MARA BAADA YAKUSILISHA MCHO WA JIJI LA MWANZA. | 
|  | 
| AFISA UHUSIANO WA JIJI LA MWANZA, BW. JOSEPH MLIZI AKIPEANA MKONO NA WAZIRI MKUU MARA BAADA YAKUWASILISHA MCHO WA MWANZA CITY COMMECIA COMPLEX. | 
|  | 
| KANALI MSTAAFU NA MKUU WA MKOA WA KAGERA AKISOMA MICHANGO KUTOKA MKOA HUO. | 
|  | 
| RC WA GEITA KULIA AKIMTAMBULISHA MKUU WA WILAYA YA GEITA MANZIE MANGOCHIE MARA BAADA YA KUWASILISHA MICHANGO YA MKOA HUO. | 
|  | 
| MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKIKABIDHI MICHAO YA MKOA HUO. | 
|  | 
| SEKRETARIETI WAKISIKILIZA KWA MAKINI JINSI WACHANGIAJI WALIVYO KUWA WANACHANGIA KATIKA HARAMBEE HIYO. | 
|  | 
| MFANYABIASHARA WA MWANZA BW. MWITA GACHUMA AKITETA JAMBO NA MHE. BENJAMIN MKAPA KATIKA HAFLA HIYO. | 
|  | 
| MKUU WA WILAYA YA NYAMAGANA KUSHOTO, BARAKA KONISAGA NA MKUU WA WILAYA YA ILEMELA BIBI AMINA MASENZA WALIPOFIKA MBELE KWA AJILI YAKUTOA MICHANGO YAO. | 
|  | 
| KAMATI YA MAANDALIZI WALIPATA FURSA YAKUPIGA PICHA YA PAMOJA NA MGENI RASMI WAZIRI MKUU WA JAMAHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. | 
 









 
 
Post A Comment: