Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, 
wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi 
lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach 
jijini Dar es Salaam, juzi Agosti 23, 2014. Katika Bonanza hilo timu ya Rav 4 
iliibuka mshindi wa jumla katika michezo yote iliyochezwa ikifuatiwa na timu ya 
Hilux, VX na Prado. Picha zote na www.sufianimafoto.com
 Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, 
wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi 
lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach 
jijini Dar es Salaam, juzi Agosti 23, 2014. Katika Bonanza hilo timu ya Rav 4 
iliibuka mshindi wa jumla katika michezo yote iliyochezwa ikifuatiwa na timu ya 
Hilux, VX na Prado.
 Mkurugenzi Mkuu wa 
Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la ushindi wa 
jumla katika michezo yote mwakilishi wa timu ya RAV 4, Mumma Nyamhanga, wakati 
wa hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo 
lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, 
mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 

 Mkurugenzi Mkuu wa 
Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa 
pili katika michezo yote mwakilishi wa timu ya Hilux,  Brian Manase, wakati wa 
hafla ya Bonanza maalum la kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika 
kwenye ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa 
wiki. Kushoto ni mwamuzi wa michezo hiyo, Othman Kazi. 
 Mkurugenzi Mkuu wa 
Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa 
tatu katika michezo yote wawakilishi wa timu ya VX, Athuman Mgeni (wa pili 
kushoto) na Ibrahim Zombo (wa pili kulia), wakati wa hafla ya Bonanza maalum la 
kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya 
Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa 
michezo hiyo, Othman Kazi. 
 Mkurugenzi Mkuu wa 
Kampuni ya Toyota Tanzania,  Bw. Vinod Rustagi, akimkabidhi Kombe la washindi wa 
Nne katika michezo yote mwakilishi wa timu ya Prado, Mtumwa Amour (wa pili 
kulia) na Fazal Ismail (wa pili kushoto), wakati wa hafla ya Bonanza maalum la 
kuwapongeza wafanyakazi wa Kampuni hiyo lililofanyika kwenye ufukwe wa Hoteli ya 
Kunduchi Beach jijini Dar es salaam, mwishini mwa wiki. Kushoto ni mwamuzi wa 
michezo hiyo, Othman Kazi. 
 Timu ya Rav 4, ambao 
waliibuka na kikombe cha ushindi wa jumla, wakipiga picha ya kumbukumbu pamoja 
kwa furaha, baada ya kukabidhiwa kombe lao la ushindi wa Bonanza hilo 
lililoelezwa kuwa litakuwa likifanyika kila mwaka ili kuwapa motisha wafanyakazi 
wake.
 Timu ya 
PRADO....
 Timu ya 
VX....
 Timu ya 
HILUX......
 Timu ya RAV 
4...........
 Wachezaji wa timu ya 
Rav 4 (wenye Tisheti za rangi ya njano) wakichuana kuwania mpira na wachezaji wa 
timu ya VX. Katika mchezo huo Rav 4 walishinda mabao 2-0.
 Chenga moja 
Chaliiiiiii..........................
 ''Hapa si ubosi tu hata 
soka bado nimo''.......
 Mtanange 
ukiendelea.....
 Wachezaji wa timu ya 
Prado (wenye Tisheti za rangi ya bluu) wakichuana kuwania mpira na wachezaji wa 
timu ya Hilux. Katika mchezo huo Prado walishinda kwa mkwaju wa penati baada ya 
kumalizika dakika 30 na kutoka sare ya bao 1-1.
 Mourinho wa timu ya 
Prado (kushoto) akifanya vitu vyake na kumgalagaza beki wa Hilux.
 Netiboli hapa ilikuwa 
ni timu ya Rav 4 (rangi ya njano) na Prado, Rav 4 ilishinda mabao 
9-2.
 Hapa ilikuwa ni timu za 
Netiboli kati ya Hilux (rangi nyekundu) na VX, Vx ilishinda mabao 
7-3
 Voliboli hapa ilikuwa 
ni Rav 4 na Prado...Prado walishinda.....
 Wahi hiyo 
weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 Hapa ilikuwa ni mchezo 
wa kuvuta kamba kati ya VX na Rav 4, Rav 4 walishinda
 Timu ya Rav 
4....
 Mvutano ulikuwa si 
wakitoto.......
 Hapa ilikuwa ni mchezo 
wa kudansi.....na kuganda......
 Kamba timu ya 
Prado.......
 Kamba timu ya Prado na 
Hilux...... KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA BOFA READ MORE
 






























 
 
Post A Comment: