Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samuel Sitta akiangalia vitabu katika maktaba ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla ya kushuhudia uzinduzi wa kituo cha taarifa katika maktaba hiyo.


Mawaziri kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanaoshoghulikia masuala ya Jumuiya wakiwa wanapitia machapisho mbalimbali katika maktaba ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla ya kushuhudia uzinduzi wa kituo cha taarifa katika maktaba hiyo.
 

Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Tanzania  Mhe. Samwel akiwa ndani ya maktaba iliyo sheheni Machapisho
mbali mbali yanayohusu Jumuiya hiyo tangu jumuiya iliyovunjika ya mwaka 1967, ndani ya maktaba hiyo iliyopo mjini Arusha.


Naibu waziri wa Afrika Mashariki wa Tanzania Mhe. Adam Malima akiwa ndani ya maktaba hiyo akiangalia vitabu mbali mbali pembeni ni Maafisa wa Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya mashariki kabla ya kushuhudia uzinduzi wa kituo cha taarifa katika maktaba hiyo..

Waziri wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wa Tanzania Mhe. Samweli Sitta, akizungumza na Vyombo mbali mbali vya habari ambavyo havionekani pichani.

Axact

Post A Comment: