Mike "Iron" Tyson-Bingwa wa zamani wa uzito wa juu katika masumbwi

Bingwa wa zamani wa ngumi asiyepigika wa uzito wa juu Mike Tyson amesema anajisikia furaha baada ya kufanya upasuaji uliofanikiwa wa kubadilisha jinsia.

Bingwa huyo ambaye aliwahi kufahamika kama ‘Mtu Mbaya Kuliko Wote Duniani’ aliyezaliwa jijini Brooklyn, amewaambia wana habari kuwa ndoto yake itatimia siku atakapopata hedhi kwa mara ya kwanza na kuanzia hapo atakuwa akijilikana kama Michelle.
Bondia huyo wa zamani aliyekuwa na kesi za ubakaji, amesema watu wengine wanashangaa sasa kwa yeye kuwa mwanamke kamili.
Mike amefanyika upasuaji wa kurekebisha uso na baadhi ya sehemu za misuli katika operesheni iliyotumia muda wa saa 16.
Amesema katika siku zote alizokuwa bondia bingwa na watu kumsifia alijua tu iko siku atakuja kuwa na matiti pamoja na uke. 
Axact

Post A Comment: