January 2013
NIGERIA: Cell Phones for Farmers to Cut Corruption, Deliver Services
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
MAIZE FARM IN KWIMBA DISTRICT MWANZA NIGERIA: Cell Phones for Farmers to Cut Corruption, Deliver Services Abuja — Nigeria's agriculture minister today responded...
JE TUENDELEE KUISHI CHINI YA MTEGO HUU WA DENI?
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
HILI NI SHAMBA LA MZALENDO AITWAE SEBASTIAN NGONGOSEKO LILILOPO MKOANI MWANZA KATIKA WILAYA YA MAGU MAARU KWA ULIMAJI WA MBOGA MBOGA TU. UCHUMI WA TEGEMEZI:...
WATU WAWILI WAFARIKI KATIKA MAZINGIRA MAWILI TOFAUTI.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini      WATU WAWILI WAFARIKI KATIKA MATUKIO TOFAUTI WATU WAWILI wamefariki dunia Mkoani Manyara katika matukio...
MAJIVU NA UZAZI WA MPANGO MBEYA.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
PAMOJA na Serikali na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kutoa elimu ya kutumia njia za kisasa za uzazi wa mpango kote nchini, baadhi ya wanawake katika wilaya...
AJALI AJALI AJALI- Mwanza.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Watu wawili wamefariki Dunia na wengine thelasini na sita (36) kujeruhiwa kwenye ajali ya basi la “Bunda Expres” iliyotokea Mkoani Mwanza katika Wilaya ya Mag...
MNYIKA NA MAONO YA  DOLA 164.6
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mnyika Tarehe 3 Januari 2013 kwa kutumia kifungu cha 10 cha sheria ya haki, kinga na madaraka ya Bunge nimetaka Wizara ya Maji inipatie nakala ya ripoti ya utekelezaji...
Sajuki kuzikwa kesho Kisutu, D’Salaam
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
TASNIA ya Filamu Tanzania imepata pigo jingine, baada ya msanii wake maarufu, Sadick Juma Kilowoko (Sajuki), kufariki dunia alfajiri ya kuamkia jana katika Hospitali...
Simba, Jamhuri zakata utepe Mapinduzi
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi, linafunguliwa leo kwa michezo miwili kwa Simba kuivaa Jamhuri ya Pemba, huku Tusker ya Kenya wakipepetana na Bandari mechi...
MWANZA YAZINDUA CHANJO YA MTOTO 2013.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Ni kuhara na Kichomi kwa watoto wa wiki 6 hadi mwaka mmoja. Zoezi la Chanjo limefanyika kimkoa katika Wilaya ya Sengerema kwenye Tarafa ya Sengerema kijiji cha Sima...
Watoto 24 wazaliwa Mwanza kuamkia mwaka mpya 2013
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Jumla ya watoto wapatao 24 wamezaliwa katika hospitali ya mkoa wa Mwanza Sekou Toure katika mkesha wa kuamkia mwaka mpya wa 21...
Watanzania sasa ni milioni 45
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
RAIS Jakaya Kikwete jana alizindua matokeo ya awali ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, yanayoonyesha kuwa Tanzania sasa ina watu 44,929,002, kati yao 43,625,434...
Page 1 of 491234567...49Next »Last