November 2013
RC- MWANZA KUFANYA ZIARA WILAYANI.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo anatazamiwa kufanya ziara ya kikazi katika Wilaya za Mkoa wa Mwanza kwa lengo la kuhimiza shughuli mbali mbali...
 T.C.R.A YASHEHEREKEA MIAKA KUMI KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Na:  Atley  Kuni. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania hivi leo imeadhimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake kwa mafanikio makubwa. Katibu Tawala Msaidizi...
KOMBE LA DUNIA KUTUA MWANZA KWA MARA YA KWANZA, KUWEKA HISTORIA.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Na Atley Kuni. Mwanza. HILI NDILO KOMBE LINALO INGIA MWANZA.   KIKAO NA WAANDISHI WA HABARI MWANZA. Kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia litapokelewa Mkoani...
SHERIA IRINGA WA WATOA KIMASOMASO WA TANZANIA NI KATIKA SHINDALO LA VYUO VIKUU.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
.NA  FRANCIS GODWIN -- IRINGA Tanzania yazibagwa nchi sita barani Afrika katika mashindano ya vyuo  vikuu ya  kuwania tuzo ya heshima  ...
Maafisa wa Israel wameshutumu vikali mkataba  wa nuklia na Iran.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Maafisa wa Israel wameshutumu vikali mkataba  wa nuklia na Iran uliofikiwa mapema Jumapili mjini Geneva. Wanasema mkataba huo kamwe huzuii Iran kuendelea na juhudi...
WANANCHI WALIO ZINGIRWA KENYA HATARINI KUPATA MARADHI.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kufuatia  kuzingirwa na wanamgambo wenye silaha wako kwenye hatari ya kupata maradhi yatokanayo na maji machafu ikiwa hawatapata msaada wa haraka wa kibinadamu,...
RAIS KIKWETE ZIARANI MKOANI SIMIYU.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Rais akipokelewa katika uwanja wa Ndege wa Mwanza.     Na Atley Kuni. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ameanza ziara...
Rage
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameliambia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania lililomtaka aitishe Mkutano Mkuu wa Dharura ndani ya siku 14, ili...
ZITTO KABWE NA MAELEZO YAKE MBELE YA WAANDISHI WA HABARI..
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
1.    1. Utangulizi Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba 2013, Kamati Kuu ya CHADEMA, pamoja na mambo mengine,...
RAIS KIKWETE,  AKUTANA NA MJUMBE WA UN
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
  Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete alipokutana na Mjumbe wa UN. Ikulu JIji Dar es Salaam Mary Robinson Mjumbe Maalumu...
Ujerumani marufuku kwa  iPhone, Ni baada yakufichua siri zao.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
  Ujerumaini imeamua kupiga marufuku simu zote za "smart" aina ya iPhone baada ya afisa mmoja wa zamani wa kijasusi wa Marekani Edward Snowden kufichua kuwa,...
MWANZA YAPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI, NI KUTOKANA NA JITIHADA ZA JESHI LA POLISI, VETA NA TRA MKOANI HUMO
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
. Jumla ya Waendesha Pikipiki 1167 wamepatiwa mafunzo ya kuendesha Pikipiki na kupatiwa Leseni daraja “A” katika kipindi cha Januari – Agosti, 2013.   Boda...
SAMATTA KUWANIA TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA AFRIKA.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
MBWANA SAMATTA AKIWA ANAONESHA VITU VYAKE UWANJANI. Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji wa kiafrika watakaowania tuzo ya mchezaji...
Page 1 of 491234567...49Next »Last