December 2012
Obama na kazi ya kuwashawishi Republican
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Barack Obama Bunge la Marekani linakutana tena leo kujaribu kutafuta suluhisho la mgogoro wa bajeti unaotishia kuitumbukiza nchi hiyo katika mdororo wa uchumi....
Watoto 149,000 kupatiwa chanjo mkoani Mwanza
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
 Mkoa wa Mwanza unatarajia kufanya uzinduzi wa Chanjo ya  Kimkoa kuhusu Nimonia pamoja na Kuzuia kuhara kwa watototo wenye umri wa wiki sita hadi  Mwaka...
Tusket yaichapa Simba 3-0 mechi ya kirafiki Dar
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
MABINGWA wa soka Bara, Simba jana waliogelea kipigo cha mabao 3-0 kutoka Tusker ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa, huku ujio wa kocha wao, Patrick Liewig...
Mbowe: 2015 ni Dk. Slaa
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mkutano wa CHADEMA-Karatu CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kuwa Katibu Mkuu wake, Dk Willbrod Slaa atapewa fursa ya kuwania nafasi...
Utajiri wa Gesi Asilia: Tuwasikilize Watanzania wa Mtwara na Lindi. Tusipuuze
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mhe. Zitto Kabwe-Mbunge na Waziri kivuli wa fedha Maandamano ya amani yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali kutoka kwa viongozi,...
 Taswira nyingi za al-Shabaab nchini Kenya
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Raia wa Uswisi Magd Najjar (kulia) akifikishwa mahakamani mjini Nairobi kushitakiwa rasmi kwa kuwa na mafungamano na al-Shabaab. Najjar ni mmoja wa washukiwa wengi...
Arsenal yaichapa New Castle 7-3, Walcott aibuka kinara.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Theo Walcott aliibuka kinara kwa kupachika mabao 3 kati ya 7 ya Arsenal walioifunga NewCastle United uwanja wa Emirates 29-Desemba-2012 Arsenal imeiangushia kipigo...
Serikali ya Somalia, viongozi wa Ras Kamboni wakutana mjini Kismayu
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Somalia Ujumbe wa juu kutoka serikali ya Somalia ulikutana na kiongozi wa wapiganaji wa Ras Kamboni Sheikh Ahmed Mohamed Islam huko Kismayu Alhamisi (tarehe...
Madereva wa bodaboda wa kike wavunja vikwazo vya kijinsia Kenya
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Faith Kabura Makena alivunja kikwazo cha kijinsia kwa madereva wa kike wa bodaboda mjini Garissa. [Bosire Boniface/Sabahi]  Picha ya teksi ya pikipiki ya Faith...
Man United yaendeleza ushindi wao
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Robin Van Persie mfungaji wa bao la pili la Man U dhidi ya West Brom Manchester United leo imeilaza West Brom magoli 2-0 na kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye...
Watu 8 wafariki Kenya
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Familia zilizoathiriwa kwa mujibu wa Gazeti la Standard Nchini Kenya wakipekuwa mali yao baada ya maporomoko hayo ya Ardhi Watu wanane wamekufa baada ya nyumba kadha...
Dubai’s Ruler Inspects New Emirates’ A380 Terminal
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
An exterior shot of the new Concourse A. The facility has been built specifically to accommodate Emirates' A380 aircraft. The new facility at Terminal 3 of Dubai’s...
Taarifa ya mkuu wa mkoa wa Mwanza kuhusu utendaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha Mwaka 2005/2012.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Evarist Ndikilo alipokuwa akiwasilisha ripoti ya utendaji wa Serikali kwa kipindi cha mwaka 2005/2012 Taarifa ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa...
Mwanza inavyofanya vizuri katika maendeleo, TUSIBEZE-Mkuu wa Mkoa Ndikilo
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
SUALA LAKUWAWEZESHA WAJASIRIA MALI NI JAMBO AMBALO MKUU WA MKOA ALILITOLEA MAELEZO, NA JINSI MKOA ULIVYOPIGA HATUA. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewaambia waandishi...
no image
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kocha wa Manchester Sir Alex Ferguson amemshutumu kocha wa Newcastle Allan Pardew na kumtaja kuwa mfarisayo na mnafiki. Pardew alimshutumu Ferguson kwa utovu wa nidhamu...
Ferguson amshutumu kocha wa Newscastle, Allan Pardew
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kocha wa Manchester Sir Alex Ferguson amemshutumu kocha wa Newcastle Allan Pardew na kumtaja kuwa mfarisayo na mnafiki   Pardew alimshutumu Ferguson...
ILEMELA DISTRICT VOWED TO SUPPORT NGOs NETWORK INITIATIVE
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
THE Ilemela District commissioner Amina Masenza has promised to support engagement Strategy between Ilemela Civil Societies Network and Ilemela Municipal Council...
Warioba’s Constitutional Review Commission Advised
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Tanzania's Constitutional Ammendment Commettee Chairperson-Hon Judge Joseph Sinde Warioba By Moses Matthew  in Mwanza THE Actions for Democracy and Local Governance...
UBATIZO WA BRAYANT SIXBERT
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mama yake Brayant Sixbert akiwa anampa kampani mwanae katika kutayarisha keki. Ni tarehe 26/12/2012: Siku ambayo Mtoto Brayant Sixbert Makelele alipoweka historia...
175, Babies born on Christmas- Uganda
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mr Nelson Tugume, the chief executive officer of Inspire Africa, and his wife Atukunda, admire their new born baby girl at Nakasero hospital on Christmas Day. PHOTO...
Mwanawe Bhuto- azindua kampeini kumuenzi mamake.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Bilawal Bhutto Zardari-Mtoto wa Benazir Bhutto MWANAWE waziri mkuu wa Pakistan aliyeuawa, Benazir Bhutto, amezindua kuingiakwake kwenye siasa hii leo ikiwa ni...
Mandela: Sasa nina nafuu wapendwa wangu.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Nelson Mandela Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson MandelaAliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, ameruhusiwa kwendanyumbani kutoka hospitali moja mjini...
Mkuu wa mkoa wa Mwanza kukutana na waandishi wa habari tar 29-Desemba-2012
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza. Eng. Evarist Ndikilo anatarajiwa kukutana na kuzungumza na waandishi wa habari wote mkoani Mwanza tarehe 29-Desemba-2012 kuelezea juu ya taarifa...
Watakaoenda na magari kanisani kupatiwa ulinzi wakati wa krismasi na mwaka mpya.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Elias Mangu Akizungumza na waandishi wa habari Mkoani Mwanza.       POLISI mkoani Mwanza imesema...
Ujumbe wa Papa wa Krismas: Akemea ushoga na kuzionya nchi za Uingereza, Marekani na Ufaransa
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Krimas 2012 Kiongozi wa waumini wa kikatoliki duniani Papa Benect XVI ameitumia nafasi ya kutoa ujumbe wa Christmas kushambulia ndoa za jinsia moja, na kuwatuhumu...
Chama cha zamani charudi madarakani Japan
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Shinzo Abe Nchini Japan chama cha kihafidhina cha Liberal Democratic, LDP, kinaelekea kushinda kwa viti vingi katika uchaguzi mkuu. Taarifa Zinahohusiana! Vituo...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,  KWENYE AMANI NA UTULIVU KUNA MAENDELEO..!!!
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo alipokuwa akifungua Mkutano wa RCC tarehe 14 Dec. 2012 Kwenye Ukumbiwa Chuo cha Ben Na: Atleya Kuni- Mwanza. Kikao...
Ama kweli ELIMU HAINA MWISHO...!
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Ilikuwa siku ya Tarehe 14 Dec. 2012 Wakati Mkurugenzi wa Vijana Nchini Prof. Elisante Ole Gabriel, alipo Hitimu kwa Mara Nyingine PhD ya Pil...
Mandela kafanyiwa uperesheni ya kibofu
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini-Mzee Nelson Mandela Ikulu ya rais wa Afrika Kusini inasema kuwa Nelson Mandela amefanyiwa uperesheni mjini Pretoria, kutolewa mawe...
Baada ya mauaji Obama atoa kauli
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Rais wa Marekani-Barack Obama Kufuatia ya moja kati ya mauaji makubwa kutokea katika historia ya Marekani, wanasiasa akiwemo Rais Barack Obama, wametaka sheria...
Kazi ni kazi..piga kazi mwanaume
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Hii ni sehemu mojawapo hapa jijini Mwanza ambapo blog hii ilimkuta msukuma mkokoteni huyu akiwajibika. Kazi hii imewezesha kuwapatia kipato baadhi  ya wakazi...
Baada ya upasuaji Tyson sasa kujulikana kama Michelle
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mike "Iron" Tyson-Bingwa wa zamani wa uzito wa juu katika masumbwi Bingwa wa zamani wa ngumi asiyepigika wa uzito wa juu Mike Tyson amesema anajisikia furaha...
AIBUUUU....!!
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
WATU HAWATAKI KUFANYA KAZI WAMEBAKIA KUPIGA SOGA ASUBUHI YA SAA 2,00 HADI JUA LINWAKA UTWAKUTA TU . HAPO KEMONDO, STORI ZAO ZOTE NIKUISEMA SERIKALI KWA NAMNA HII...
HUU NDIO UJUMBE WANGU KWENU NIKIWA MWAKILISHI WA WANANCHI- JOHN MNYIKA.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
JOHN MNYIKA-Mbunge wa Jimbo la Ubungo ORODHA YA UFISADI NA UZEMBE TANESCO AWAMU YA KWANZA NA MWITO WA KUTOA MAONI KUHUSU KUSUDIO LA KUPANDISHA BEI YA UMEME KWA...
Mandela alazwa hospitalini siku ya pili
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mzee Nelson Mandela-Rais Mstaaf wa Afrika Kusini Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amelezwa hospitali kwa siku ya pili mjini Pretoria ambako alipelekwa...
Miaka 51 ya Uhuru, Kipato cha Mwana Mwanza- Changamoto inayohitaji Ufumbuzi.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Wanafunzi wa shule wa elimu maalum Kakola wilayani Kwimba katika maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara Imeelelezwa kwamba pamoja na Tanzania kuadhimisha...
HIREEEEE TRENI NJOOO! WAJASIRIAMALI TUPONE!
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Hivi ndivyo Mwandishi wa Blog hii alipo mkuta bibi Thabitha Ngalaba, Eneo la Station ya Mwanza akiosha kioski chake cha kuuzia Samaki. sikumoja kabla ya treni kuingia...
Mhe. Zitto ziarani Ujerumani, kuhutubia mkutano wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Ujerumani na Afrika
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Mhe. Zitto Kabwe-Waziri Kivuli wa Uchumi (MB-Kigoma Kaskazini) Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi, Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Kigoma Kaskazini...
RCC- Mwanza: Kufanyika Tarehe 14/Dec/2012.
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Katibu Tawala Msaidiz Mipango na Uratibu Mkoa wa Mwanza Bibi Issabela Marick. KIKAO cha kamati ya ushauri cha Mkoa wa Mwanza (RCC ) kinatarajia kufanya mkutano...
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Sherehe za miaka hamasini na moja ya Uhuru wa Tanzania Bara zina tarajia kufanyika tarehe 09/Dec.2012. Sherehe hizo katika mkoa wa Mwanza zitafanyika katika, Kimkoa...
no image
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
Wanajeshi nchini Misri wameanza kuwafukuza waandamanaji, ikiwa ni pamoja na waandishi wa mashirika mbalimbali ya habari, waliokusanyika nje ya kasri ya rais mjini...
Maonesho ya SIDO yazidi kupamba moto Mwanza
Kuni News Blog. Habari, matukio na uchambuzi wa makala.
SIDO Mwanza Maonesho ya Shirika la Viwanda Vidogo (SIDO)  yanayo fanyika jiji Mwanza katika Viwanja vya Nyamagana, yameonekana kuwa kivutia kikubwa...
Page 1 of 491234567...49Next »Last